Mwaka 2014, watumiaji wa simu walikuwa milioni 31.86 na watumiaji wa intaneti milioni 11.35. Hadi sasa asilimia 65 ya wananchi wa Tanzania yenye watu milioni 47 wanatumia simu za mkononi. Hiyo inafanya kuwepo na fursa nyingi kwa kampuni katika biashara na huduma za intaneti na simu.
Simu Mpya MPYA; Dark Mode. Search for: Search. ... nyingi watu hawa hupewa bidhaa na makampuni makubwa kuweza kujaribu au kutumia na baadae kutangaza kwenye akaunti zao za mitandao ya kijamii. Lakini biashara hii kama zilivyo biashara nyingine nayo pia inakuja na changamoto. ... akaunti yako isiwe yenye kuvunja sheria za nchi au kukiuka maadili ...
Kitu cha tatu ni mitandao ya kijamii, ambapo unahitaji kuwa na kurasa za blog yako kwenye mitandao ya kijamii unayotumia. Mitandao kama facebook, instagram, twitter na linked in ina watumiaji wengi. Unahitaji kuwa kwenye mitandao hii ili kupata wasomaji wa blog yako. Aina za email list. Kuna aina nyingi za kuweza kutengeneza email list yako.
Hapo wala tusipepese macho voda au mitandao ya simu yenye utaratibu huu ni matapeli tu, Mimi kama Wakala siwezi kuwa nashikana mashati na wateja kunyang'anyana simu kuangalia kama kweli katoa pesa, kwanza suala la kumuomba kila mteja simu uangalie kama muamala kufanya yeye kweli ni gumu sana na ni ushamba!!!
Jun 18, 2016 · Wakati mfumo wa rajisi ya namba za utambulisho wa vifaa vya mawasiliano vya mkononi unazinduliwa mwezi Desemba 2015, idadi ya namba tambulishi ambazo zilikuwa hazina viwango (bandia) zilikuwa sawa na 4% na zile ambazo zilikuwa zimenakiliwa (duplicates) zilikuwa ni sawa na 30%. Hii ikiwa na maana 66% ni sio simu bandia.
Simu hii ina uwezo wa kusapoti mitandao ya 2g,3g na mtandao wenye kasi zaidi kwa sasa wa 4g na hivyo kukufanya kuwa na internet bora na yenye kasi zaidi kwa gharama ndogo tu.Pia simu hii ina uwezo au nafasi ya kuhifadhi files na data mbali mbali yenye ukubwa wa Gb 16 na huku ikiwa na sehemu ya kuweka memory pia ya ukubwa hadi wa Gb 200.
Ring camera making high pitched noise